Neno la Wiki- Azizi na Hiba
Pakua
Wiki hii katika neno la wiki tutasikia kutoka kwa mchambuzi wetu wa kiswahili juma hili ni Mwanahija Ali Juma katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar , BAKIZA anafafanua maana ya maneno “AZIZI NA HIBA”
Audio Credit
Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
48"