Umoja wa Mataifa wahimiza kutowasahau wakimbizi wa Rohingya
Pakua
Umoja wa Mataifa umesisitiza ari yake kuendelea kuhakikisha usalama na suluhu ya kudumu kwa wakimbizi warohingya kutoka Myanmar na kukumbusha juhudi za Umoja huo katika kuweka mazingira salama kuwawezesha kurejea nyumbani.
Audio Credit
UN News/Patrick Newman
Sauti
2'16"