Baada ya kasi ya kimbunga Kenneth kupungua sasa ni mipango ya usaidizi:UN
Pakua
Baada ya kimbunga Kenneth kupiga jimbo la Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji jana jioni, na sasa kuwa kimepungua kasi yake, Umoja wa Mataifa umechukua hatua ya kupeleka timu yake ili kusaidiana na serikali katika operesheni za usaidizi na usimamizi wa taarifa.
Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
2'27"