Uganda ni miongoni mwa nchi tano barani Afrika zenye wagonjwa wengi wa saratani ya shingo ya uzazi 25 Aprili 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la afya duniani WHO limesema kimataifa eneo la Afrika Mashariki linabeba mzigo mkubwa wa saratani ya shingo ya uzazi huku Uganda ikiwa miongoni mwa nchi tano barani humo zenye wagonjwa wengi. Audio Credit Grace Kaneiya/ Amina Hassan Sauti 2'18" Photo Credit Pan American Health Organization HPV UGANDA WHO