Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uganda ni miongoni mwa nchi tano barani Afrika zenye wagonjwa wengi wa saratani ya shingo ya uzazi

Uganda ni miongoni mwa nchi tano barani Afrika zenye wagonjwa wengi wa saratani ya shingo ya uzazi

Pakua

Shirika la afya duniani WHO limesema kimataifa eneo la Afrika Mashariki linabeba mzigo mkubwa wa saratani ya shingo ya uzazi huku Uganda ikiwa miongoni mwa nchi tano barani humo zenye wagonjwa wengi. 

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Amina Hassan
Sauti
2'18"
Photo Credit
Pan American Health Organization