Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WFP yahitaji fedha zaidi kufanikisha operesheni zake Msumbiji

WFP yahitaji fedha zaidi kufanikisha operesheni zake Msumbiji

Pakua

Mwezi mmoja tangu kimbunga Idai kipige Msumbiji na kusababisha maafa, shirika la mpango wa chakula duniani, WFP limesema limeweza kufikisha msaada wa chakula kwa watu milioni mmoja huku likiendelea kupanua wigo wa msaada na kuwapatiwa wananchi misaada ya kujikwamua. 

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Patrick Newman
Audio Duration
2'9"
Photo Credit
FAO/Telcínia dos Santos.