Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF na TEF wawapa tuzo waandishi 10 kwa uandishi bora wa habari za watoto nchini Tanzania

UNICEF na TEF wawapa tuzo waandishi 10 kwa uandishi bora wa habari za watoto nchini Tanzania

Pakua

Nchini Tanzania, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kwa kushirikiana na Jukwaa la wahariri, TEF, wamewatunukia tuzo waandishi wa habari 10 ambao wameangazia kwa ubora habari zinazowahusu watoto katika mwaka 2018/19.

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Arnold Kayanda
Audio Duration
2'9"
Photo Credit
UNICEF Tanzania/ Twitter