Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Makombora na mashambulizi kutoka angani yazidi kuua raia mjini Tripoli na viungani

Makombora na mashambulizi kutoka angani yazidi kuua raia mjini Tripoli na viungani

Pakua

Nchini Libya idadi ya watu waliouawa tangu kuanza kwa mapigano kwenye mji mkuu Tripoli tarehe 6 mwezi huu wa Aprili imeongezeka na kufikia 48.

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Patrick Newman
Audio Duration
1'55"
Photo Credit
UNSMIL