Makombora na mashambulizi kutoka angani yazidi kuua raia mjini Tripoli na viungani
Pakua
Nchini Libya idadi ya watu waliouawa tangu kuanza kwa mapigano kwenye mji mkuu Tripoli tarehe 6 mwezi huu wa Aprili imeongezeka na kufikia 48.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Patrick Newman
Audio Duration
1'55"