Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kiu ya amani Sudan Kusini ni dhahiri- Shearer

Kiu ya amani Sudan Kusini ni dhahiri- Shearer

Pakua

Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan kusini, David Shearer, ametembelea eneo la Bahr El Ghazal nchini humo ambako amekuwa na mazungumzo na viongozi kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo utekelezaji wa mkataba wa amani, kusaidia wakimbizi wa ndani kurejea kwa hiyari katika maeneo yao na pia kuhusu suala la usalama katika ukanda huo.

Audio Credit
Assumpta Massoi/ Arnold Kayanda
Audio Duration
1'43"
Photo Credit
Picha: IRIN/Siegfried Modola