Machafuko mapya Tripoli yawafungisha virago zaidi ya watu 2800: Ribeiro
Pakua
Machafuko yanayoendelea ndani ya mji mkuu wa Libya Tripoli na viunga vyake yamesababisha zaidi ya watu 2800 kufungasha virago wakikimbia mapigano, pia yamezuia huduma za dharura kuwafikia majeruhi na raia, na kuharibu mfumo wa umeme.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Flora Nducha
Sauti
1'49"