Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Machafuko mapya Tripoli yawafungisha virago zaidi ya watu 2800: Ribeiro

Machafuko mapya Tripoli yawafungisha virago zaidi ya watu 2800: Ribeiro

Pakua

Machafuko yanayoendelea ndani ya mji mkuu wa Libya Tripoli na viunga vyake yamesababisha zaidi ya watu 2800 kufungasha virago wakikimbia mapigano, pia yamezuia huduma za dharura kuwafikia majeruhi na raia, na kuharibu mfumo wa umeme.

Audio Credit
Assumpta Massoi/ Flora Nducha
Sauti
1'49"
Photo Credit
UN OCHA/GILES CLARKE