Ulemavu sio kulemaa, ninachohitaji ni kuwezeshwa:Mkulima Gideon Masinde
Pakua
Ingawa hali ya ulevu hasa wa viungo mara nyingi huleta changamoto kwa muhiska kuanzia katika maisha ya kawaida na hata katika kujikwamua kiuchumi jambo ambao huwafanya wengi wasio na msaada kuishia kuwa ombaomba, au kukabiliwa na hali ngumu sana. Lakini kama walivyonena wahenga penye njia pana njia , kauli inayothibitishwa na Gideon Malungula Masinde mwenye umri wa miaka 42 ambaye ana ulemavu wa miguu yote na hawezi kusimama wa wala kutembea lakini hakuacha ulemavu wake umlemaze zaidi.
Audio Credit
Arnold Kayanda/ Flora Nducha
Sauti
2'55"