UNMISS yatathimini hali ya Yei Sudan Kusini
Pakua
Wakati jitihada za kutekeleza makubaliano ya amani yaliyotiwa saini mnamo mwezi Septemba mwaka 2018 zikiendelea mjini Yei Sudan Kusini, eneo la kilimo ambalo liliwahi kuwa chanzo kikuu cha chakula nchini humo bado linakabiliana na ukikukwaji mkubwa wa haki za binadamu na watu kuyahama makazi yao.
Audio Credit
Arnold Kayanda/ John Kibego
Audio Duration
2'39"