Tafadhali tushikamane na waathirika wa kimbunga Idai:Wataalam UN
Pakua
Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, hii leo mjini Geneva Uswisi wametoa wito kwa mataifa, mashirika ya kimataifa na sekta binafsi kuonesha mshikamano na nchi za kusini mwa Afrika baada ya kimbinga Idai kuwaua mamia na pia maelfu kubakia bila makazi huku pia kimbunga hicho kikisababisha hasara ya mabilioni ya fedha.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Patrick Newman
Audio Duration
2'33"