Wanawake Kenya wana mchango mkubwa Kenya katika amani ya kudumu:CSW63
Pakua
Kenya wamechukua jukumu la kuchagiza amani na kuanzisha kikundi cha kusongesha harakati za kuleta amani kwa jina la Embrace uchagizaji unaofanywa na wanawake. Mmoja wa wanawake wanaoshiriki harakati hizo ni, Bi Ida Odinga ambaye ni mwenyekiti wa kundi hilo la Embrace
Audio Credit
UN News/Arnold Kayanda
Audio Duration
2'39"