Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanawake Kenya wana mchango mkubwa Kenya katika amani ya kudumu:CSW63

Wanawake Kenya wana mchango mkubwa Kenya katika amani ya kudumu:CSW63

Pakua

Kenya wamechukua jukumu la kuchagiza amani na kuanzisha kikundi cha kusongesha harakati za kuleta amani kwa jina la Embrace uchagizaji unaofanywa na wanawake. Mmoja wa wanawake wanaoshiriki harakati hizo ni, Bi Ida Odinga ambaye ni mwenyekiti wa kundi hilo la Embrace

Audio Credit
UN News/Arnold Kayanda
Audio Duration
2'39"
Photo Credit
UN News Kiswahili/ Grece Kaneiya