Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Msaada wa kwanza wa WFP wawafikia waathirika wa kimbunga Msumbiji

Msaada wa kwanza wa WFP wawafikia waathirika wa kimbunga Msumbiji

Pakua

Kimbunga IDAI kimeukumba mji wa bandari wa Beira ulio na wakazi wengi nchini Msumbiji ,na kusababisha mafuriko makubwa ambayo yameshaathiri maeneo mengine Kusini mwa Afrika ikiwemo Kusini mwa Malawi na Mashariki mwa Zimbabwe. 

Audio Credit
Assumpta Massoi/ Grace Kaneiya
Audio Duration
2'42"
Photo Credit
PICHA: EU/ECHO Jacqueline Chinoera