Msaada wa kwanza wa WFP wawafikia waathirika wa kimbunga Msumbiji
Pakua
Kimbunga IDAI kimeukumba mji wa bandari wa Beira ulio na wakazi wengi nchini Msumbiji ,na kusababisha mafuriko makubwa ambayo yameshaathiri maeneo mengine Kusini mwa Afrika ikiwemo Kusini mwa Malawi na Mashariki mwa Zimbabwe.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Grace Kaneiya
Audio Duration
2'42"