Hatua za Benki ya Dunia dhidi ya Ebola DRC zazaa matunda
Pakua
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC harakati zinaendelea ili kutokomeza mlipuko wa Ebola unaoelezwa kuwa ni wa pili kwa ukubwa kuwahi kukumba taifa hilo la Maziwa Makuu.Benki ya Dunia inasaidia sambamba na manusura wa ugonjwa huo wako mstari wa mbele kama anavyosimulia Grace Kaneiya.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Grace Kaneiya
Audio Duration
2'48"