Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jeshi la wananchi Tanzania, JWTZ lanuia kutekeleza lengo namba 4 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs kwa vitendo.

Jeshi la wananchi Tanzania, JWTZ lanuia kutekeleza lengo namba 4 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs kwa vitendo.

Pakua

Umoja wa Mataifa kupitia lengo namba 4 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs kuhusu elimu bora, unapigia chepuo elimu ambayo si tu jumuishi bali pia inampatia mnufaika stadi za kumkomboa kimaisha, iwe kwa kupata ajira akiwa ofisini au akiwa kwenye medani za nje. Nchini Tanzania, moja ya mataifa yaliyoridhia malengo hayo, jeshi la wananchi, JWTZ limeitikia wito huo kupitia shule ambazo inazimiliki. Luteni Kanali Semunyu wa JWTZ alishiriki kikao kilichosheheni maofisa wa ngazi mbalimbali za kijeshi pamoja na wale wanaoongoza taasisi za elimu zilizoko chini ya JWTZ.

Audio Credit
Flora Nducha/Arnold Kayanda
Audio Duration
4'53"
Photo Credit
© UNHCR/Diana Diaz