Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kukata tamaa sio hulka yangu: Nimetz

Kukata tamaa sio hulka yangu: Nimetz

Pakua

Mwezi Juni mwaka jana mkataba wa kihistoria ulimaliza mgogoro wenye utata wa miaka 27 kati ya nchi mbili, ambazo ni jamhuri ya Yugoslavia ya zamani na Ugiriki. Mwanaume mmoja Matthew Nimetz kwa uvumilivu na hekma aliongoza majadiliano kwa niaba ya Umoja wa Mataifa kwa zaidi ya miongo miwili na akizungumza na UN News amesema Imani yake ya matokeo chanya katika mchakato huo haikuwahi kutoweka.

Audio Credit
Grace Kaneiya/Arnold Kayanda
Audio Duration
4'16"
Photo Credit
UN News/Video capture