Neno la Wiki: Dau, Wadau, Washikadau
Pakua
Leo katika Neno la Wiki tunabisha hodi Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA ambako mchambuzi wetu, Bi. Mwanahija Ali Juma, ambaye ni Katibu mtendaji wa baraza hilo anafafanua maneno “Dau, Wadau na Washikadau" ambayo huleta utata mkubwa katika matumizi yake.
Audio Credit
Flora Nducha/Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
1'18"