Makundi yaliyojihamini marufuku kuingiza watoto jeshini: Fally Ipupa
Pakua
Makundi mbalimbali yaliyojihami kwa silaha nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, yameaswa kuwajibika na kuhakikisha hayawaingizi watoto jeshini, kuwapa vyeo na kuwashirikisha vitani.
Audio Credit
Grace Kaneiya/Arnold Kayanda
Audio Duration
1'18"