Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Bangladesh yachukua hatua kutunza na kuhifadhi lugha za mama

Bangladesh yachukua hatua kutunza na kuhifadhi lugha za mama

Pakua

Leo ni siku ya lugha ya mama duniani ambapo Umoja wa Mataifa unapigia chepuo matumizi ya lugha ya mama katika mifumo yote ya maisha iwe elimu, biashara kwa lengo la kuimarisha amani, ustawi na utangamano miongoni mwa watu wenye makabila, lugha na tamaduni tofauti. 

Audio Credit
Grace Kaneiya/Flora Nducha
Audio Duration
2'8"
Photo Credit
UNESCO