Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chonde chonde pande kinzani Syria zingatieni haki za raia- Bachelet

Chonde chonde pande kinzani Syria zingatieni haki za raia- Bachelet

Pakua

Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet amesihi pande kinzani kwenye mzozo nchini Syria ziheshimu sheria za kimataifa pindi zinapoendesha operesheni zao za kijeshi wakati huu ambapo usalama wa raia huko Idlib unazidi kuzorota. 

Audio Credit
Grace Kaneiya/Assumpta Massoi
Audio Duration
1'51"
Photo Credit
UNICEF