Mkataba wa amani CAR waleta matumaini kwa mamilioni ya watoto- UNICEF
Pakua
Shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF limesema mkataba wa amani uliotiwa saini kati ya serikali na pande kinzani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR unaleta matumaini kwa mamilioni ya watoto kwenye taifa hilo lililokuwa limegubikwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi
Audio Duration
1'50"