Utapiamlo bado ni zahma kwa watoto Yemen:UNICEF
Pakua
Utapiamlo bado ni zahma kubwa nchini Yemen kwa watoto, kina mama wajawazito na wale wanaonyonyesha kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula WFP, ambalo sasa linafanya juhudi kubwa kuhakikisha maelfu ya watoto wanapata lishe inayohitajika kuokoa maisha yao.
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Sauti
1'54"