Mchango wa wanawake na wasichana katika sayansi ni muhimu sana:UN
Pakua
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amehimiza haja ya kuziba pengo la wanawake na wasichana lililopo katika nyanja ya sayansi, uhandizi na hisabati au STEM akisema mchango wao ni mkubwa na unahitajika.
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
1'21"