Neno la Wiki- OPOA
Pakua
Wiki hii katika Neno la Wiki, mchambuzi wetu kutoka Baraza la Kiswahili Zanzibar nchini Tanzania , BAKIZA kwa Bi. Mwanahija Ali Juma , Katibu mtendaji wa BAKIZA akichambua maana ya neno “OPOA”. Anasema kuwa opoa ni lazima kitu kiwe kinatolewa kutoka kwenye maji! Fuatana naye.
Audio Credit
Arnold Kayanda/Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
1'5"