Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uonevu dhidi ya watoto mtandaoni lazima ukome:UNICEF

Uonevu dhidi ya watoto mtandaoni lazima ukome:UNICEF

Pakua

Uonevu na ukatili dhidi ya watoto mtandaoni umefurutu ada ni ni lazima ukome limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF katika kuadhimisha siku ya usalama kwenye mtandao wa intaneti.

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Sauti
2'29"
Photo Credit
@UNICEF/Estey