Baba alipofariki dunia ndipo FGM ikawa tishiokwetu:Msichana Elizabeth
Pakua
Ukeketaji ni mila potufu ambayo inapigwa vita kote duniani hivi sasa na Umoja wa Mataifa, mashirika ya kutetetea haki za wanawake na wasicha na hata asasi za kiraia. Na wasichana walionusurika visu vya ngariba wmekuwa chachu katika vita hivi . Miongoni mwao ni binti kuitoka Tanzania.
Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
1'37"