Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baba alipofariki dunia ndipo FGM ikawa tishiokwetu:Msichana Elizabeth

Baba alipofariki dunia ndipo FGM ikawa tishiokwetu:Msichana Elizabeth

Pakua

Ukeketaji ni mila potufu ambayo inapigwa vita kote duniani hivi sasa na Umoja wa Mataifa, mashirika ya kutetetea haki za wanawake na wasicha na hata asasi za kiraia. Na wasichana walionusurika visu vya ngariba wmekuwa chachu katika vita hivi . Miongoni mwao ni binti kuitoka Tanzania.

Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
1'37"
Photo Credit
UNICEF/Catherine Ntabadde