Watoto wenye ulemavu si hoja , mtihani ni kuwahudumia na tiba:Mkimbizi Syria
Pakua
Mama mkimbizi kutoka Syria mwenye watoto wawili wenye ulemavu anasema kuwa na watoto hao si shida mtihani mkubwa unaomkabili ni kuwahudumia na hasa kuwapatia matibabu. Watoto wake wote wawili wana matatizo ya mtindio wa ubongo sasa anahitaji msaada kuwapeleka nchi nyingine.
Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
1'48"