Mauji ya watoto Tanzania yatutia hofu:UN
Pakua
Umoja wa Mataifa nchini Tanzania ,umelaani vikali mauaji ya watoto 10 kwenye mkoa wa Njombe yanayosadikiwa kutokea kutokana na imani za ushirikina. Mratibu mkazi wa Umoja huo amesema wanashirikiana na serikali kuhakikisha chanzo kinabainika huku ukitaka wahusika kufikishwa kwenye mkono wa sheria na watoto kupewa ulinzi stahiki.
Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
1'34"