Amani yaimarika Akobo, Sudan Kusini, wananchi warejea kusongesha maisha
Pakua
Nchini Sudan Kusini, mkataba bora zaidi wa amani uliotiwa saini kati ya serikali na upinzani umeendelea kuzaa matunda kwa kuwa hivi sasa wananchi waliokuwa wamekimbilia nchi jirani wameanza kurejea nyumbani ili kujenga upya maisha yao.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi
Audio Duration
1'48"