Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ubunifu wa ajira wazaa matunda kwa vijana nchini Burundi

Ubunifu wa ajira wazaa matunda kwa vijana nchini Burundi

Pakua

Kubuni ajira ni swala linalotatiza pakubwa vijana wengi barani Afrika. Wengi hulalamikia ukosefu wa mitaji au chanzo cha kuanzisha biashara. Lakini wataalamu wa biashara na wachanganuzi wa miradi  wanaamini kuwa mtaji mkubwa na wa kuaminika kwanza ni  fikra ya biashara  pamoja na kujumuika katika shirika.

Kundi moja la vijana wapatao 50 nchini Burundi  kwa jina la CVC, baada ya kupokea  mafunzo ya mtaalamu wameanza kuona mafaanikio  ya biashara yao ilioanza  tu na unga wa uji.

Mwandishi wetu wa Bujumbura Ramadhani Kibuga ametuandalia makala ifuatayo.

 

Soundcloud
Audio Credit
Grace Kaneiya/Ramadhani Kibuga
Audio Duration
3'52"
Photo Credit
World Bank/Charlotte Kesl