Kijana mkimbizi atumia radio chakavu kurusha matangazo huko kambini Kyangwali nchini Uganda
Pakua
Leo Ijumaa katika makala kwa kina tuko nchini Uganda katika kambi ya wakimbizi ya Kyangwali, ambako John Safari, mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ametumia ubunifu na ujuzi wa kukarabati redio na kuanzisha mtambo wa kurusha matangazo ya redio yanachohabarisha jamii ya wakimbizi katika kambi ya Kyangwali nchini Uganda. Ungana na John Kibego katika mahojiano na mbunifu huyo.
Audio Credit
Assumpta Massoi/John Kibego
Audio Duration
5'12"