Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kijana mkimbizi atumia radio chakavu kurusha matangazo huko kambini Kyangwali nchini Uganda

Kijana mkimbizi atumia radio chakavu kurusha matangazo huko kambini Kyangwali nchini Uganda

Pakua

Leo Ijumaa katika makala kwa kina tuko nchini Uganda katika kambi ya wakimbizi ya Kyangwali, ambako John Safari, mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ametumia ubunifu na ujuzi wa kukarabati redio na kuanzisha mtambo wa kurusha matangazo ya  redio yanachohabarisha jamii ya wakimbizi katika kambi ya Kyangwali nchini Uganda. Ungana na John Kibego katika mahojiano na mbunifu huyo.

Audio Credit
Assumpta Massoi/John Kibego
Audio Duration
5'12"
Photo Credit
UN /MINUSCA