Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanawake wanaopigania haki wanasimamia kazi yao-Bi. Bisimba

Wanawake wanaopigania haki wanasimamia kazi yao-Bi. Bisimba

Pakua

“Wanawake labda kwa makuzi yao, wakifanya kitu wanafanya kwa kumaanisha,” hii ni sehemu ya maneno yake Helen Kijo Bisimba, mwanaharakati nguli wa kupigania haki za binadamu nchini Tanzania. Akizungumza na Flora Nducha wa Idhaa hii Bi. Bisimba amesema wanawake ambao wanajihusisha na kupigania haki, ni kwa sababu wamepitia changamoto zitokanazo na ubinyaji wa haki na wanasimamia kazi yao. Basi ungana na Flora Nducha na Bi Kijo  kwa undani zaidi.

Soundcloud
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Flora Nducha
Audio Duration
3'38"
Photo Credit
Photo: UN Women/Ryan Brown