Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

MICT yashukuru Tanzania kwa mafanikio iliyoyapata

MICT yashukuru Tanzania kwa mafanikio iliyoyapata

Pakua

Rais wa taasisi ya kimataifa inayoshughulikia masuala yaliyosalia ya makosa ya jinai,MICT  jaji Theodor Meron leo ameshukuru serikali ya Tanzania kwa msaada wake kwa taasisi hiyo wakati akitoa hotuba yake kwenye Kongamano la Umoja wa Mataifa jijini Dar es Salaam

Audio Credit
Grace Kaneiya William Sekule
Audio Duration
1'49"
Photo Credit
UNIC Dar es salaam