MICT yashukuru Tanzania kwa mafanikio iliyoyapata
Pakua
Rais wa taasisi ya kimataifa inayoshughulikia masuala yaliyosalia ya makosa ya jinai,MICT jaji Theodor Meron leo ameshukuru serikali ya Tanzania kwa msaada wake kwa taasisi hiyo wakati akitoa hotuba yake kwenye Kongamano la Umoja wa Mataifa jijini Dar es Salaam
Audio Credit
Grace Kaneiya William Sekule
Audio Duration
1'49"