Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mboji yabadili maisha kwa wakulima Bangladesh

Mboji yabadili maisha kwa wakulima Bangladesh

Pakua

Nchini Bangladesh, ziara zilizoandaliwa na shirika la chakula na kilimo duniani, FAO kwa ajili ya wakulima katika nchi mbalimbali ikiwemo Kenya, zimebadilisha mbinu za kilimo na hatimaye kuongeza tija. 

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Ramadhani Kibuga
Audio Duration
1'48"
Photo Credit
IOM/Amanda Nero