UNHCR yahakikishia Rahaf usalama wake wakati akisubiri jawabu ya ombi la uhifadhi
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limeelezea kutiwa moyo na hatua ya mamlaka Thailand kuruhusu Rahaf Mohammed Al-qunun kutoka kwenye hoteli ilioko kwenye uwanja wa ndege, Bangkok na kwamba UNHCR iliruhusiwa kuonana naye na kwa sasa yupo maeneo salama mjini humo.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi
Audio Duration
1'40"