Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR yahakikishia Rahaf usalama wake wakati akisubiri jawabu ya ombi la uhifadhi

UNHCR yahakikishia Rahaf usalama wake wakati akisubiri jawabu ya ombi la uhifadhi

Pakua

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limeelezea kutiwa moyo na hatua ya mamlaka Thailand kuruhusu Rahaf Mohammed Al-qunun kutoka kwenye hoteli ilioko kwenye  uwanja wa ndege, Bangkok na kwamba UNHCR iliruhusiwa kuonana naye na kwa sasa yupo maeneo salama mjini humo.

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi
Audio Duration
1'40"