Onyesha mshikamano na wakimbizi kwa kutembea kilometa bilioni 2 8 Januari 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limetangaza leo kuanza kwa kampeni ya kimataifa ya watu kutembea na kufikisha umbali wa kilometa bilioni 2 ambazo wakimbizi hulazimika kutembea kila mwaka. Audio Credit Grace Kaneiya/ Arnold Kayanda Sauti 1'56" Photo Credit UNFPA Bangladesh/Naymuzzaman Prince UNHCR wakimbizi Kelly T. Clements BEN STILLER