Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mada kwa kina- Biashara mtandao

Mada kwa kina- Biashara mtandao

Pakua

Ijumaa ya leo mada kwa kina inamulika biashara  mtandao na manufaa yake kwa jamii hivi sasa hususan zile ambazo wakazi wake wanatumia simu za mkononi na wana uwezo wa kupata mtandao wa intaneti unaowaunganisha kwenye mitandao ya kijamii kama vile Facebook, Instagram na Twitter. Grace Kaneiya amefuatilia kwa kina hali ilivyo Afrika Mashariki hususan Kenya, Tanzania na Uganda na wapigaji chepuo mada hii UNCTAD ambayo ni kamati ya biashara na  maendeleo ya Umoja  wa Mataifa. Karibu!

Audio Credit
Arnold Kayanda/Grace Kaneiya
Audio Duration
7'39"
Photo Credit
UN News/Nam Cho