Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

20 Disemba

20 Disemba

Pakua

Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa leo , Grace Kaneiya anakuletea

-Uchaguzi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC waahirishwa kwa wiki moja zaidi, huku mkuu wa mahakama ya ICC akionya uhalifu dhidi ya ubinadamu kuwajibishwa

-FAO yawainua wakulima wadogowadogo nchini Tanzania kwa kuwapatia stadi za kilimo

-Msichana mkimbizi kutoka kambi ya Dadaab nchini Kenya aoongoza kwa alama za juu katika kuhitimu elimu ya msingi

-Makala leo inamulika afya kwa wote nchini Burundi

-Mashinani utawasikia wasichana kutoka shule ya Tandale jijini Dar es salaam wakieleza changamoto zinazowakabili watoto wa kike.

Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Audio Duration
13'12"