Ujerumani yatoa dola milioni 3.69 kuchagiza operesheni za WFP Tanzania 17 Disemba 2018 Habari kwa Ujumla Pakua Harakati za shirika la mpango wa chakula duniani, WFP nchini Tanzania za kusaidia wakimbizi na wasaka hifadhi nchini humo kwa mwaka 2018-2019 zimepigiwa chepuo hii leo kufuatia msaada wa Euro milioni 3.25 kutoka serikali ya Ujerumani. Audio Credit Flora Nducha Audio Duration 2'17" Photo Credit UNHCR/B. Loyseau WFP Tanzania Ujerumani wakimbizi VVU/UKIMWI