Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ibara ya 24

Ibara ya 24

Pakua

Mapumziko na burudani ikiwemo kuwa na muda wenye ukomo wa kufanya kazi na pia kupatiwa likizo yenye malipo ni haki ya kila mtu kwa mujibu wa  Ibara ya 24 ya tamko la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa linalotimiza miaka 70 mwezi huu. Lakini je haki hii ya msingi inatekelezwa vipi? Katika makala hii, Mwanasheria Tito Magoti wa kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC Tanzania akijadili na Arnold Kayanda anaanza kwa kueleza mantiki ya ibara yenyewe.

 

Soundcloud
Audio Credit
Arnold Kayanda/Tito Magot
Audio Duration
2'11"
Photo Credit
FAO/Giulio Napolitano