Hatua ya China na Ufaransa kuelekea COP24 ni ya kipekee- Guterres
Pakua
Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Ufaransa na China ya kuchukua dhima ongozi kuelekea mkutano wa 24 wa mabadiliko ya tabiachi huko Poland, hatua ambayo umoja huo imesema inatia matumaini kwa mamilioni ya watu wanaokumbwa na madhara tabianchi hivi sasa.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
2'24"