Vijana washauriwa kuwa vita havina maana
Pakua
Tofauti za kikabila, kidini na kijamii ni miongoni mwa vichocheo vya ghasia katika kambi za wakimbizi nchini Uganda ambako ni hifadhi ya wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, Sudan Kusini, Rwanda , Ethiopia na Somalia.
Audio Credit
Assumpta Massoi/Siraj Kalyango
Audio Duration
1'49"