Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vijana washauriwa kuwa vita havina maana

Vijana washauriwa kuwa vita havina maana

Pakua

Tofauti za kikabila, kidini na kijamii ni miongoni mwa  vichocheo vya ghasia katika kambi za wakimbizi nchini Uganda ambako ni hifadhi ya wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, Sudan Kusini, Rwanda , Ethiopia na Somalia.

Audio Credit
Assumpta Massoi/Siraj Kalyango
Audio Duration
1'49"
Photo Credit
Wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wakiwa katika kambi ya Kyangwali nchini Uganda. (Picha:© UNHCR/Isaac Kasamani)