Plastiki toka jalalani hadi ala za muziki
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa mazingira UNEP linasema kila mbinu ni lazima itumike ili kupambana na plastiki ambazo athari zake ni kubwa sio tu kwa mazingira bali kwa mukstakabali wa binadamu na viumbe wengine baharini na nchi kavu. Na kwa mantiki hiyo limekuwa likichagiza juhudi mbalimbalimbali na ubunifu wa kugeuza taka hizo za plastiki kuwa faida katika jamii jambo ambalo limeanza limeitikiwa na mwanaharakati wa mazingira Shady Rabab kutoka Missri. Assumpta Massoi na tarifa kamili
Audio Credit
Flora Nducha/Assumpta Massoi
Audio Duration
2'