16 Novemba 2018
Pakua
Katika Jarida la Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anaangazia
-Utapiamlo uliokithiri katika ukanda wa Sahel, ambako watoto zaidi ya milioni 1.3 wahitaji tiba haraka
-Stahamala sio tu kuvumiliana bali ni kuwa tayari kuwakubali wengine kwa misingi ya haki
-Wanafunzi na waalimu Gaza wanakabiliwa na kibarua kigumu katika shule zinazolindwa na vikosi vya Israel
-Makala leo inaangazia Ibara ya 12 ya tamko la haki za binadamu inasemaje? tega sikio
-Katika kujifunza kiswahili wajua maana ya methali "Mtondoo haufi maji"?
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
10'31"