Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

16 Novemba 2018

16 Novemba 2018

Pakua

Katika Jarida la Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anaangazia 

-Utapiamlo uliokithiri katika ukanda wa Sahel, ambako watoto zaidi ya milioni 1.3 wahitaji tiba haraka

-Stahamala sio tu kuvumiliana bali ni kuwa tayari kuwakubali wengine kwa misingi ya haki

-Wanafunzi na waalimu Gaza wanakabiliwa na kibarua kigumu katika shule zinazolindwa na vikosi vya Israel

-Makala leo inaangazia Ibara ya 12 ya tamko la haki za binadamu inasemaje? tega sikio

-Katika kujifunza kiswahili wajua maana ya methali "Mtondoo haufi maji"?

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
10'31"