Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tanzania imepiga hatua katika kutekeleza baadhi ya haki za washitakiwa: Henga

Tanzania imepiga hatua katika kutekeleza baadhi ya haki za washitakiwa: Henga

Pakua

Tanzania imepiga hatua katika utekelezaji wa baadhi ya haki za binadamu ikiwemo kuhakikisha haki za  washitakiwa kudhaminiwa, au tutokuchukuliwa kuwa na hatia hadi itakapothibitishwa. 

Audio Credit
Grace Kaneiya/Anna Henga
Audio Duration
1'59"
Photo Credit
Rungu atumialo jaji mahakamani. (Picha:tovuti-ICTR )