Tanzania imepiga hatua katika kutekeleza baadhi ya haki za washitakiwa: Henga
Pakua
Tanzania imepiga hatua katika utekelezaji wa baadhi ya haki za binadamu ikiwemo kuhakikisha haki za washitakiwa kudhaminiwa, au tutokuchukuliwa kuwa na hatia hadi itakapothibitishwa.
Audio Credit
Grace Kaneiya/Anna Henga
Audio Duration
1'59"