Mtu hapaswi kukamatwa kiholela
Pakua
Nchi zinatakiwa kubadili sheria zao ili kwenda sawa na mbinu za sasa za utumwa na utwana.
Ibara ya 9 ya tamko la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa linalotimiza miaka 70 mwaka huu wa 2018, inaeleza hakuna mtu anayepaswa kukamatwa kiholela na kuwekwa ndani au kulazimishwa kwenda uhamishoni. Lakini je! Nchi wanachama zinatimiza matakwa ya ibara hii? Anold Kayanda wa idhaa hii amezungumza na Mwanasheria, wakili Jebra Kambole wa Tanzania anaeleza.
Soundcloud
Audio Credit
Siraj Kalyango/Anold Kayanda
Audio Duration
3'7"