WHO yasema huduma za afya kwa wote zijumuishe wagonjwa wa kisukari
Pakua
Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya ugonjwa wa kisukari, shirika la afya ulimwenguni WHO linaangazia athari za kisukari kwa familia na majukumu ya wanafamilia katika kusaidia kinga, uchunguzi na usimamizi unaotakiwa kwa ugonjwa huo ambao ulisababisha vifo vya watu milioni 1.6 mwaka 2016.
Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
2'48"