UN yahaha machafuko yanaendelea Gaza
Pakua
Wakati machafuko yakiendelea kushika kasi upya kwenye Ukanda wa Gaza , Umoja wa Mataifa unasema unafuatilia haki kwa karibu huku mratibu maalumu wa Umoja wa Mataifa kwenye ukanda huo Nickolay Mladenov akishirikiana na pande zote kujaribu kurejesha utulivu.
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
7'32"