Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la Wiki: SAINI na SAHIHI

Neno la Wiki: SAINI na SAHIHI

Pakua

katika Neno letu wiki hii mchambuzi wetu ni  Mwahija Ali Juma ambaye ni katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar , BAKIZA anafafanua maana ya maneno “SAINI” na “SAHIHI.”

Audio Credit
Bi. Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
1'25"
Photo Credit
UN News Kiswahili