Neno la Wiki: SAINI na SAHIHI
Pakua
katika Neno letu wiki hii mchambuzi wetu ni Mwahija Ali Juma ambaye ni katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar , BAKIZA anafafanua maana ya maneno “SAINI” na “SAHIHI.”
Audio Credit
Bi. Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
1'25"